Mwanaume kutoa mbegu (shahawa) nyepesi
MWANAUME
KUTOA SHAHAWA NYEPESI
Sio wakati wote mwanaume atatoa shahawa
nzito.
kuna muda mwanaume anaweza kutoa
shahawa nyepesi kama majiHali hiyo ni ya
kawaida Lakini kama ni hali ya muda mrefu au
yakujirudia rudia zipo sababu zinazoweza
kusababisha hali hiyo:--
Mwanaume kushiriki
mapenzi mara kwa mara au kufanya
masturbation mara kwa mara- Maambukizi
katika korodani-Kiwango kidogo cha mbegu
katika shahawa-Magonjwa ya kurithi kama
Klinifelta nklli kua na shahawa nzito
Unashauriwa kupata muda wa kutosha wa
kupumzika,kuacha au kupunguza
masturbation,Kufanya mazoezi,Kula vyakula
kama karanga.Korosho, Ufuta, Maziwa,mboga za
majani ,mayai ,nyama nkPia unaweza kufanya
uchunguzi wa vipimo kama homoni ya
testosterone pamoja na kipimo cha ubora na
wingi wa mbegu (semen analysis)
Kwa ushauri nipigie nikupe maelekezo sahihi 0626664255
Maoni
Chapisha Maoni